MSAADA WA VITENDEA KAZI HALMASHAURI YA BUNDA

Tumefanikiwa kukabidhi baadhi ya vitendea kazi vya kieletroniki katika Halmashauri ya Bunda kwa ajili ya kurahisisha na kufanikisha kazi za maafisa kwenye halmashauri hiyo. 

Vifaa vimekabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Halmshauri ya mjini Bunda Bw. Emmanuel J. Mkongo. 

Location

Head Office 10th LAPF Towers,
Bagamoyo Road, Opp Makumbusho Village,
Kijitonyama,
P.O BOX 9300, Dar es salaam

Call Center

+255 765 767 683
+255 788 767 683
+255 658 767 683
+255 773 767 683

Email Us

info@tcbbank.co.tz,
callcentre@tcbbank.co.tz,