SHULE YA MSINGI NYASA II - WILAYA YA NZEGA

Meneja wa Tawi - Nzega Bw. Shomari Shabani amekabidhi Madawati 70 katika Shule ya Msingi Nyasa II Kwa Mkuu wa Wilaya Bi. Naitapwaki Tukai. Hii ni moja ya jitihadi nyingine ambazo Benki inaendela kutekeleza ili kusaidia mipango ya Serikali hususani Sekta ya Elimu katika kuondoa changamoto zilizopo.  

Location

Head Office 10th LAPF Towers,
Bagamoyo Road, Opp Makumbusho Village,
Kijitonyama,
P.O BOX 9300, Dar es salaam

Call Center

+255 765 767 683
+255 788 767 683
+255 658 767 683
+255 773 767 683

Email Us

info@tcbbank.co.tz,
callcentre@tcbbank.co.tz,