MCHANGO WA VIFAA VYA UJENZI - SHULE YA MSINGI MLABANI IFAKARA

Benki ya TCB kuipitia Tawi la Ifakara, ilikabidhi msaada wa vifaa vya ujenzi ikiwemo mabati na mifuko ya saruji kwa ajili ya kuchangia uendelezi wa ukarabati wa madara chakavu yaliyopo kwenye shule hiyo.

Akikabidhi msaada huo kwa Mkuu wa Shule Bw. Abasi Gora kwenye picha ni Meneja wa Tawi la Ifakara Bi. Frida Sanga, Uongozi wa Shule na Kamati ya Wazazi.

Location

Head Office 10th LAPF Towers,
Bagamoyo Road, Opp Makumbusho Village,
Kijitonyama,
P.O BOX 9300, Dar es salaam

Call Center

+255 765 767 683
+255 788 767 683
+255 658 767 683
+255 773 767 683

Email Us

info@tcbbank.co.tz,
callcentre@tcbbank.co.tz,