UKARABATI WA MADARASA MATATU NA OFISI MBILI ZA WALIMU

Benki yetu ilipiga hatua katika kukamilisha mradi wa ukarabati wa madarasa matatu na ofisi mbili za walimu katika shule ya msingi Muyama, iliyopo Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma. 

Ikiwa ni moja ya sera ya Benki kutoa kwa jamii (CSR), ilitembelea shule hiyo ambayo ilikua na madarasa chakavu ambayo sio salama kwa wanafunzi, hivyo ikaona ni vyema kutoa msaada wa kukarabati madarasa hayo. 

Sambamba na hiyo benki ilichangia madawati Ishirini na Tano ili kupunguza msongo wa wanafunzi kwenye dawati moja, na kutoa msaada wa Printer moja kwa ajili ya walimu.

Location

Head Office 10th LAPF Towers,
Bagamoyo Road, Opp Makumbusho Village,
Kijitonyama,
P.O BOX 9300, Dar es salaam

Call Center

+255 765 767 683
+255 788 767 683
+255 658 767 683
+255 773 767 683

Email Us

info@tcbbank.co.tz,
callcentre@tcbbank.co.tz,