MSAADA WA MABATI NA MIFUKO YA SARUJI - TANGA

Mkuu wa wilaya ya Tanga Mhe.James Wilbert Kaji akipokea msaada wa mifuko 100 ya Saruji pamoja na mabati 100 kwa ajili ya ukarabati wa shule ya msingi Masiwani iliyoko jijini Tanga kutoka kwa meneja wa TCB Bank Tawi la Tanga Bw. Patrick Swenya.

Location

Head Office 10th LAPF Towers,
Bagamoyo Road, Opp Makumbusho Village,
Kijitonyama,
P.O BOX 9300, Dar es salaam

Call Center

+255 765 767 683
+255 788 767 683
+255 658 767 683
+255 773 767 683

Email Us

info@tcbbank.co.tz,
callcentre@tcbbank.co.tz,